
Mkali wa bongo fleva Diamond
Platnumz ameendelea kupeleka
mbali muziki wake kwa kufanya
kolabo za kimataifa.
Safari hii Diamond ameonekan
Safari hii Diamond ameonekan
a kuvuka mipaka akitarajia kuachia
ngoma mpya aliyoshirikiama na rapa
wa Marekani Rick Ross.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram
Kupitia ukurasa wake wa Instagram
Meneja wa Diamond, Babu Tale
ameweka video inayomuonyesha
msanii huyo akiwa na Rick Ross
wakirekodi video.
Soma: Diamond aeleza sababu
Soma: Diamond aeleza sababu
za kuachana na Vevo
Tale aliandika, "Kuthubutu ni
Tale aliandika, "Kuthubutu ni
sehemu ya kufanya,dhamira
yetu ni kuupeleka muziki wa
bongo fleva mbele, kikubwa
dua zenu."
Video hiyo inaonekana
Video hiyo inaonekana
kutengenezwa Miami, Marekani.
Siku chache zilizopita nyota huyo
Siku chache zilizopita nyota huyo
alipata tuzo ya mwanamuziki bora
wa Afrika Mashariki zilizotolewa na
Afrimma
1 Comments
Seven Blaze Will Be Hosting its first Activation Event at @clubeuphoriake Machakos.
ReplyDeleteDate : 21st October 2017
Time : 6pm till late
Entry : 2 Cans Of Seven Blaze
Music By : @DjExtreme254 | @DjKeicy
Be there Lets Celebrate Mashujaa Party Weekend In Style.
#TunarockNaSevenBlaze
#SevenBlazeAtClubEuphoria
CLICK GOING
https://www.facebook.com/events/180503235851986/?ti=as