Klabu ya Yanga imewasili salama
katika Aridhi ya Bukoba tayari kwa
ajili ya mchezo wake naKagera
Sugarkesho Jumamosi katik
Uwanja wa Kaitaba.Kikosi cha
Yanga kimewasili bila ya
nyota Thaban Kamsoko, huku Donald Ngoma akitaraji
kuwepo lakini hayupo kwenye
mipango ya Kocha Lwandamina
kuhusu mchezo wa keshi kwa
sababu bado hajakaa sawa,
ila atakuwepo kwenye michezo
inayofata.







0 Comments