
HUKU kukiwa na fununu
za kuwepo kwa bifu zito
kati ya Aslay
za kuwepo kwa bifu zito
kati ya Aslay
namwanamuziki
mwenzake Beka Flavor,
ambao walifanya kazi
mwenzake Beka Flavor,
ambao walifanya kazi
pamoja katika Yamoto
Band, msanii huyo
amefunguka kuwa
Band, msanii huyo
amefunguka kuwa
hakuna bifu lolote kati
yao.Akizungumza na Risasi
Vibes, Aslay alisema kwa muda
yao.Akizungumza na Risasi
Vibes, Aslay alisema kwa muda
mrefuamekuwa akihusishwa
kuwa katika msigano na Beka
Flavor kitu mbacho si kweli
kwani waoni washkaji licha
ya kutofanyakazi pamoja kwa
sasa.“Mimi na Beka ni washkaji
vibaya sana, tena mara ya mwisho
kuwasiliana naye ilikuwa jana (juzi),
kuwa katika msigano na Beka
Flavor kitu mbacho si kweli
kwani waoni washkaji licha
ya kutofanyakazi pamoja kwa
sasa.“Mimi na Beka ni washkaji
vibaya sana, tena mara ya mwisho
kuwasiliana naye ilikuwa jana (juzi),
mashabiki ndiyo wanakuza
mambo hayo lakini ukweli ni
kwamnba sina bifu na Beka,”
alisema Aslay.
mambo hayo lakini ukweli ni
kwamnba sina bifu na Beka,”
alisema Aslay.
0 Comments