
Katibu Mwenezi wa Baraza la
Vijana wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo
(Bavicha), Edward
Simbeye amepata ajali ya
gari.
Simbeye alikuwa akitokea
Dar es Salaam kwenda Moshi
Dar es Salaam kwenda Moshi
mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza na Mwananchi
leo Jumatano asubuhi,
leo Jumatano asubuhi,
Simbeye amesema ajali hiyo
ilisababishwa na tairi la
ilisababishwa na tairi la
mbele kushoto kufyatuka
hivyo gari kupoteza
hivyo gari kupoteza
mwelekeo na kuanguka
kando mwa barabara eneo
kando mwa barabara eneo
la Kawawa mjini Moshi.
“Namshukuru Mungu
nimetoka salama
“Namshukuru Mungu
nimetoka salama
mimi na mdogo wangu…
nilikuwa
nilikuwa
nakwenda nyumbani
kwa sababu za
kwa sababu za
kifamilia,” amesema
Simbeye.
Simbeye.
0 Comments