Uwanja mkuu wa ndege nchini
Zimbabwe umebadilishwa jina na
kupewa rasmi jina la Rais Robert
Mugabe.
Uwanja wa Kimataifa wa Harare
Uwanja wa Kimataifa wa Harare
sasa utaitwa uwanja wa Kimataifa
wa Robert Mugabe.
Mtandao mmoja wa habari ulichapisha
Mtandao mmoja wa habari ulichapisha
picha za sherehe hizo zilizofanyika mji
mkuu Harare.
Barua kutoka kwa mamlaka za safari
Barua kutoka kwa mamlaka za safari
za ndege nchini humo kushauri kuhusu
mabadiliko hayo ilisambatwa pakubwa
kwenye mtandao wa Twitter mwezi
SeptembaMugabe, 93, ameitawala nchi
hiyo tangu mwaka 1980.
0 Comments