CCM wakitoka CHADEMA
mkoani Arusha waliokumbwa
na skendo
na skendo
ya kununuliwa, amemtaka
Mwenyekiti
Mwenyekiti
wa chama hicho Freeman
Mbowe,
Mbowe,
kumtafuta aliyekuwa
katibu wake
katibu wake
Mkuu Wilbroad Slaa,
ili kuokoa jahazi
ili kuokoa jahazi
kwenye chama.Kwenye
video ambayo
video ambayo
anaonekana akizungumza,
aliyekuwa
aliyekuwa
diwani wa kata ya
Kimandolu Mchungaji
Kimandolu Mchungaji
Rayson Ngowi, amesema
kuna haja ya kutafuta
kuna haja ya kutafuta
hekima za Wilbroad Slaa,
ili kukisaidia chama
ili kukisaidia chama
hicho kukaa kwenye mstari
unaofaa, kwa kuwa
unaofaa, kwa kuwa
sasa kimeanguka kwa
kiasi kikubwa.
kiasi kikubwa.
Bwana Ngowi amesema
hata yeye kutoka
hata yeye kutoka
CHADEMA ameondoka
kwa kutaka mwenyewe
kwa kutaka mwenyewe
na sio kununuliwa kama
inavyodaiwa, na
inavyodaiwa, na
kwamba kuna wengine
watakaofuata nyuma
watakaofuata nyuma
yao baada ya wao
kuondoka kwenye chama
hicho.
“CHADEMA ya leo sio
ile ya Dkt Slaa, CHADEMA
yaleo ni ya maslahi,
kuondoka kwenye chama
hicho.
“CHADEMA ya leo sio
ile ya Dkt Slaa, CHADEMA
yaleo ni ya maslahi,
CHADEMA ganganjaa, na
wakikataa mimi nitasema,
sikiliza Mbowe, chama
sikiliza Mbowe, chama
chako kina matatizo
makubwa, huna viongozi,
makubwa, huna viongozi,
kamtafute Dkt. Slaa
nafikiri ataokoa jahazi,
nafikiri ataokoa jahazi,
kama mnataka kurudisha
imani, kwa sababu sio
imani, kwa sababu sio
mimi tu nimeondoka
watakuja wengi”,
amesema
watakuja wengi”,
amesema
diwani huyo.

0 Comments