
Mke wa Sheikh Suleiman Othman
mmoja wa wafuasi wa Jumuiya ya
Uamsho wanaoshikiliwa mahabusu
Tanzania Bara amejiua kwa kujinyonga.
Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja
imesema
Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja
imesema
Rahma Mussa Koki (28) alijiua kwa
kujinyonga JumapiliKamanda wa Polis
i mkoani humo, Hasina Ramadhan
\Taufiq
\Taufiq
amesema watu watano wamehojiwa
wakiwemo
wakiwemo
wazazi wake kuhusu tukio hilo.Amesema
katika
katika
mahojiano bado hawajatambua sababu
za mwanamke huyo kujinyonga.“Katika hatua
za mwanamke huyo kujinyonga.“Katika hatua
za awali tumesikia alianza kuugua
maradhi ya
maradhi ya
akili na huenda yakawa chanzo cha
yeye kuijua,
yeye kuijua,
” amesema Taufiq.Amesema licha ya
watu ha
watu ha
kuhojiwa, hakuna wanayemshikilia.
Kamanda
Kamanda
Taufiq amesema kazi ya Jeshi hilo ni
kuhakikisha wanaendelea na upelelezi
na utakapokamilika watatoa taarifa.
Wakati huohuo, Safia Kombo Sheha,
mama mzazi wa Rahma amesema kabla
ya kifo chake alikuwa akisumbuliwa na
matatizo ya akili na alipatiwa matibabu
mara kadhaa.“Kabla ya kifo chake kama
wiki nzima alikuwa akisema nitajinyonga
nasi tukawa karibu naye kila wakati kwa
kujua ni
kujua ni
mgonjwa. Jumapili asubuhi tulikuwa pamoja
ila niliondoka kidogo. Niliporudi nilikuta
mlango
mlango
wa chumbani kwake umefungwa,
tulipouvunja
tulipouvunja
tulikuta akiwa amejinyoka kwa kutumia
kamba,” amesema.Safia amesema baada ya
kamba,” amesema.Safia amesema baada ya
ndugu na majirani kufika walibaini
alishafariki.
Tukio hilo amesema lilitokea saa nne
asubuhi,
eneo la Kigunda, Mkoa wa Kaskazini
Unguja.
alishafariki.
Tukio hilo amesema lilitokea saa nne
asubuhi,
eneo la Kigunda, Mkoa wa Kaskazini
Unguja.
Rahma ameacha watoto watatu,
wawili
wakiwa wa kike.
wawili
wakiwa wa kike.
0 Comments