
Mbunge wa Kigoma Mjini,
Zitto
Zitto
Kabwe (ACT-Wazalendo)
amesema
amesema
Jumatano hii ataenda
Mahakamani
Mahakamani
kupinga uteuzi wa nafasi
ya Katibu
ya Katibu
wa Bunge uliofanywa na
Rais wa
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania
Tanzania
Dkt.John Pombe Magufuli
Jumamosi
Jumamosi
iliyopita.Uteuzi huo ulienda
sambamba
sambamba
na uteuzi wa Mawaziri
ambapo baadhi ya
ambapo baadhi ya
mawaziri walibadilishwa
na wengine
na wengine
kuongezwa.“Katika
kulinda utawala wa
kulinda utawala wa
sheria nchini kwetu,
pia Uhuru na Hadhi ya
pia Uhuru na Hadhi ya
Mhimili wa Bunge, Leo
tarehe 11/10/2017
tarehe 11/10/2017
tunawasilisha mahakamani
ombi la kutengua
ombi la kutengua
uteuzi wa Katibu wa
Bunge na kutaka
Bunge na kutaka
mchakato wa kisheria
ufuatwe katika kumpata
ufuatwe katika kumpata
Katibu wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania,” aliandika
Zitto Facebook.
Zitto Facebook.
Rais Magufuli alimteua
Katibu mpya wa
Katibu mpya wa
Bunge na yule ambaye
alikuwa akifanya
shughuli hiyo
alikuwa akifanya
shughuli hiyo
kuahidi kumpangiwa kazi
nyingine.
Zitto alisema uteuzi wa
Katibu wa Bunge
nyingine.
Zitto alisema uteuzi wa
Katibu wa Bunge
uliofanywa na Rais John
Magufuli ni batili Kwa
Magufuli ni batili Kwa
mujibu wa Sheria ya
Utawala wa Bunge, sheria
Utawala wa Bunge, sheria
namba 14 ya mwaka 2008
ikisomwa pamoja na
ikisomwa pamoja na
Katiba ya JMT ibara ya
87.Alisema Katiba inatoa
Mamlaka Kwa Rais kuteua na
sheria inaweka utaratibu Wa
87.Alisema Katiba inatoa
Mamlaka Kwa Rais kuteua na
sheria inaweka utaratibu Wa
kutekeleza mamlaka hayo ya
Katiba.
Katiba.
0 Comments