![Dkt Shika Apata Shavu la Matangazo na Huu ndo Muonekano Wake Mpya](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWBguCkASJGOZH9scqBp1yYMk-Q3lZNSvoB_KWVl3M2n9ISdaaSunU4NJk1n3fcqFwLv33u_wGBmCoI1Lg7aYjAWb0Yl7phu4Xq3MFY5o098ZFmP4wwZLFmc2eCSj-shFDshFvV4TdI4k/s400/Screen-Shot-2017-11-20-at-08.10.17.png)
Maisha ya Dk Louis Shika ambaye
hivi karibuni aliingia kwenye
headline baada ya kushindwa
kutoa asilimia 25 ya mnada wa
nyumba za Lugumi muda mchache
baada ya kushinda mnada huo,
yameanza kubadilika taratibu
kutokana na kupata deal kadhaa
za matangazo.
DK Shika ambaye alikuwa katika
DK Shika ambaye alikuwa katika
muonekano ambao haufananii na
utajiri anaoutangaza kuwa nao,
weekend hii ameonekana akiwa
amevaa suti kali.
Wadau wa mambo wanadai kuwa
Wadau wa mambo wanadai kuwa
mzee huyo mashuhuri mitandaoni
amepata deal kubwa katika
kampuni moja kubwa la michezo
ya kubashiri.
Huwenda akapata deal nyingi zaidi
Huwenda akapata deal nyingi zaidi
kutoka na umaarufu alionao kwa sasa
0 Comments