1. Atakutega kupata attention
yako. Hufanya mambo ambayo
yatamfanya kuona kama
unampenda au lah! Mf wa mambo
hayo ni kujifanya anaumwa na
kuangalia respond yako kwake
ni kiasi gani unamjali na kiasi
gani utahangaika kwa ajili yake au
2. Haoni aibu kugusa sehemu yako
2. Haoni aibu kugusa sehemu yako
ya mwili. Msichana anayependa
haoni aibu kukushika mkono ama
kukutomosa au hata kukumbatia.
Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa
asilimia kubwa hisia za kushikana
kwenu kutamrahisishia kazi ya
kuwa na wewe
3. Kucheka kwa nguvu hata kwa
3. Kucheka kwa nguvu hata kwa
kitu kisicho chekesha endapo
wewe umezungumza. Mara
nyingi ataonesha uso wa furaha
hata kama si furaha ya kweli
4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona
4. Wivu.
Hujisikia wivu anapokuona
na wasichana wengine.
Ukiwa unachart nao na ukiwaita
majina ya kimahaba. Hapendi.
5 anakumbuka siku zako
5 anakumbuka siku zako
muhimu. Hukumbuka kama
vile siku yako ya kuzaliwa
hatowez kuisahau kufanya
ipite bila kukutakia heri ya
siku ya kuzaliwa kama sivyo
ukifaulu mtihani au chochote
katika maisha yako atakuwa
mbele kukupongeza
6. Eye contact anapenda
6. Eye contact anapenda
kukuangalia machoni muda
wote ambao mtakuwa mkizungumza
pamoja akidhani kuwa utaelewa
ni kiais gani anakupenda kupitia
vile ambavyo anakuangalia.
Ila wengine huona aibu kuwatazama
Ila wengine huona aibu kuwatazama
wavulana wanaowapenda si
wote wana ujasiri wa kuwatazama
wapenzi wao.
7. Hupenda kukaa mmuda
7. Hupenda kukaa mmuda
mwingi na wewe. Hawezi kupoteza
hata sekunde ukimuhitaji kwa
mazungumzo. Anajisikia furaha
kukaa na wewe muda mrefu bila
kuchoka. Anaweza akaacha kila
kitu anachokifanya ili ajumuike
na wewe.
8. Yupo tayari kuangamiza.
8. Yupo tayari kuangamiza.
Kama msichana anakupenda
yupo tayari kusacrifice. Ni kitu
ambacho hakuna mtu ambaye
anaweza akafanya kwa mtu
mwingine. Utaona vipi huyo
msichana alivyo kwako na wa
wengine. Yaani yupo tayari yeye
akose lakini wewe upate na kwa
mwingine anaweza akamwamba
hana alichoombwa lakini akakupa
wewe kama pesa na vitu vingine.
9. Anachukulia matatizo yako
9. Anachukulia matatizo yako
kama ni yake. Unapomueleza
kuwa ana tatizo anajali tatizo
lako kama vile ni lake na hujisikia
vibaya sana na kuhuzunika na
atafanya lolote ili aweze
kukusaidia utoke katika hilo
tatizo.
10. Mikwaruzano ikitokea katika
10. Mikwaruzano ikitokea katika
urafiki wenu hayupo tayari
kukupoteza kabla hajakuambia
anakupenda. Kwa kuwa
anakupenda endapo ikatokea
mikwaruzano basi atafanya juu
chini kuyaweka mambo sawa ili
asikukose
0 Comments